Skip to main content

Featured

Maombolezo: Hii ndiyo Hali Ilivyo Tanzania Bendera Yapepea Nusu Mringoti

Agizo la Rais John Magufuli la Bendera ya Taifa kupepea kwa nusu mlingoti kwa siku tatu kuanzia leo Septemba 22 kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere iliyotokea mkoani Mwanza limetekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Kamanda wa 'Watapata Tabu Sana' Kupata Dili la Matangazo?


Mitaa na mitandao imechafuka kwa msemo wa #WatapataTabuSana ambao ulisemwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma,RPC G Muroto na kupewa umaarufu na @soudybrown na @kwisa__mzee_mkavu (#Shilawadu)


Sasa Kamanda huyo amezungumza na @mamybabytz na kusema kwamba anaweza kutoa msemo mwingine wakati ukifika. Ameongeza kwamba ikitokea kuna watu wanataka kufanya naye 'dili' (mfano matangazo) labda anaweza kufanya kwa kushauriana na Mkuu wa Jeshi la Polisi.



Comments

Popular Posts