Skip to main content

Featured

Maombolezo: Hii ndiyo Hali Ilivyo Tanzania Bendera Yapepea Nusu Mringoti

Agizo la Rais John Magufuli la Bendera ya Taifa kupepea kwa nusu mlingoti kwa siku tatu kuanzia leo Septemba 22 kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere iliyotokea mkoani Mwanza limetekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Baba Amuua Mwanae Kwa Sumu na Kisha Kumfukia Porini


Jeshi la Polisi linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Isitu Wilayani Mbarali, Geofrey Emilio Mwanganga(21) kwa kumuua mtoto wake, Prince Geofrey Emilio(5)

Mtuhumiwa anadaiwa kumuua mwanae kwa kumnywesha sumu (haijafahamika aina yake) na kisha Agosti 28, baba huyo 
alikwenda nyumbani kwa mkewe alikokuwa anaishi baada ya kutengana na kumchukua mtoto huyo kwa nguvu bila kibali cha mzazi mwenzake

Mtuhumiwa baada ya kukamatwa, alidai mtoto alikuwa amempeleka kwa ndugu zake huko Makete Mkoani Njombe lakini baadae alikiri kuwa amemuua mtoto na kumtupa porini

Aidha, chanzo cha tukio hili ni mtuhumiwa kuhisi mtoto (marehemu) si wake bali amebambikiwa mtoto wa mwanaume mwinginewenda kumfukia porini

Comments